Watoto wa Marehemu Mzee Raphael Mlondoye Msyaliha wa Mbeya mjini wanasikitika kutangaza kifo cha Baba yao mpendwa.
Mzee Raphael Mlondoye Msyaliha aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 10 oktoba 2017 katika Hospital ya Rufaa Mkoani Mbeya .
Mzee Raphael Mlondoye Msyaliha aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 10 oktoba 2017 katika Hospital ya Rufaa Mkoani Mbeya .
Msiba upo nyumbani kwa marehemu
Mbeya mjini karibu na Hospital ya Rufaa.
Habari ziwafikie watoto wote wa
marehemu, wana ukoo wote wa
Msyaliha, Shonza,shura, Mwamlima, Paza, Sijabaje, Halinga, Mgala, Ntenga, Ntengwi, Mwashambwa, Njeje
na Mwawalo , Ndugu wote na jamaa wa marehemu wateja na wadau wote wa
Victoria Engeneering.
mazishi yamepangwa kufanyika Mkoa wa songwa (Mbozi) Kijiji cha Igale
kata ya Iyula siku ya Alhamis Tarehe 12 mwezi wa 10 2017.Mwenyezi MUNGU
ailaze roho ya Marehemu Baba yetu Mahala Pema Peponi.
AMENI
No comments:
Post a Comment