Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwalimu wake, Agrias Sichone
ambaye alimfundisha katika Shule ya Sekondari ya Kigonsera mwaka 1977
hadi 1980. Alikuwa katika kikao cha kuhitimisha ziara yake mkoani
Songwe kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Sunrise mkoani humo Julai
24, 2017. kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Chiku Galawa.(Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment