Social Icons

Pages

Blogger templates

Wednesday, July 26, 2017

MAJALIWA AKUTANA NA MWALIMU WAKE WA SEKONDARI

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

PMO_5608
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwalimu  wake, Agrias Sichone ambaye alimfundisha katika Shule ya Sekondari ya Kigonsera mwaka 1977 hadi 1980. Alikuwa katika kikao cha  kuhitimisha ziara yake mkoani Songwe kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Sunrise mkoani humo Julai 24, 2017.  kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Chiku Galawa.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


PMO_5619

No comments:

Post a Comment