Social Icons

Pages

Blogger templates

Saturday, July 22, 2017

MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA TUNDUMA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisikiliza ujumbe kutoka kwa Chifu Jubeki Chimpansya wa Momba baada ya kusimikwa na wazee wa mila kuwa Chifu Simpanji katika mkutano wa hadhara aliouhutubia kwenye Uwanja wa Shule ya Misngi ya Mwaka katika mji mdogo wa Tunduma mkoani Songwe Julai 21, 2017. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipokagua eneo la ujenzi wa jengo la pamoja la forodha kwenye mpaka wa Tanzania na Zambia katika mji mdogo wa Tunduma. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Songwe Julai 21, 2017. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kushoto kwake) wakitazama gari lililotengenezwa na Adam Zachariah Kinyekie wakati alipowasili kwenye uwanja 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Shule ya Misingi ya Mwaka katika mji mdogo wa Tunduma. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Songwe Julai 21, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana Dickson Mwandambila ambaye ni mlemavu baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi ya Mwaka katika mji mdogo wa Tunduma. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Songwe Julai 21, 2017. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua wa Ujenzi wa banio na mfereji wa maji wakati alipotembelea mradi wa kilimo cha umwagiliaji wa Makamba wilayani Momba Julai 21, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment